ads

Sunday, 5 September 2021

Jinsi ya kupunguza unene

 

1.acha kula vyakula vya mafuta

2.acha kula sukari au vyakula vitamu vitamu

3.fanya mazoezi zaidi

4.kuto kula chochote zaidi hasa 》ugali, viazi, wali, mihogo, mkate

》kula mboga mboga na matunda kwa wingi zaidi


Kunenepa si kuwa na Afya!!!!

Matatizo yanayo wez kuwapata watu wanene

1. Msukumo wa damu ulio juu (high blood pressure)

2.ugonjwa wa moyo

3.ugonjwa wa kisukari

4.ugonjwa wa viuongo vya miguu

Pamoja na matatizo mengine

@AfyaYakotza



Wednesday, 3 May 2017

KAROTI NA MAAJABU YAKE

.    

           KAROTI
Hii ina element ijulikanayo kama beta-carotene ambayo husaidia kupambana na kansa.

KINGA YA MWILI
Pia ni chanzo kizuri cha vitamin na husaidia kuongeza kinga ya mwili,

UWEZO WA KUONA
vitamin A ambayo ina patikana kwa wingi husaidia kuongeza uwezo wa kuona na mawasiliano ya seli.

Pia ina madini kama sodiam,sulphur,chlorine na iodine.


MAGONJWA YA NGOZI
Juisi ya caroti husaidia sana katika kutibu ngozi iliyo kauka na ulaji wa mara kwa mara hupunguza uwezo wa kupata vidonda vya tumbo pamoja na madhara mengine kwenye mfumo wa chakula.

Tuesday, 2 May 2017

FAIDA ZA LIMAO NA CHUNGWA

1.     

Limao na chungwa  hujulikana vyema kwa kuwa na vitamin B, Vitamin C pamoja na calcium na kuupa mwili nguvu kwa haraka sana.
Husaidia katika kuimarisha figo
mishipa ya fahamu ,
mishipa ya damu,
husaidia kusafisha mfumo wa mmengenyo wa chakula,
kuimarisha meno pamoja na kujenga mifupa.
Pia citric acid na madini ya alkali huimarisha utendaji kazi wa ini kwa kusahihisha mtiririko wa nyongo.
Hutibu magonjwa kama kikohozi,
dondakoo na kifaduru.

Pia huzuia magonjwa kama ugonjwa wa jongo (rheumatism),gout,arthritis (uvimbe kwenye maungio ya mifupa).

Wednesday, 5 April 2017

5 signs your relationship has reached peak comfort levels


Are you REALLY comfortable with each other?

Are you REALLY comfortable with each other? Awkwardness, coyness and shyness, the need to be constantly clean, prim and proper in the early part of a relationship is tiring. What’s the fun in being conscious of every little thing you or your partner does, especially if you plan to be in a long term relationship. After all, one of the most important aspects of any healthy, loving relationship is being comfortable in the presence of each other while doing every, and we mean, EVERY thing. Has your relationship reached  peak comfort levels? Find out from this list.

1) You can change in front of each other- We’re not talking about taking off your clothes during sex. Actually changing your clothes, digging through your wardrobe in your undies when you search for a particular blouse, trying on a swimsuit, leaving your bathroom naked to get dressed outside—that is a clear indication you are okay with them seeing you natural, with all your  (even when not having sex).

2) You don’t mind body hair- Ask any girl (or boy) and they’ll definitely tell you that waxing/shaving/hair removal is one thing they wish they could do away with. Yes, many of us like to be smooth and hairless. But there may be times when you just don’t have the time for hair removal. So, at least once in a while, a little bit of fuzz down there or anywhere shouldn’t bother you or him.

3) You are okay eating the messiest foods – We’re talking natural food, chewing mutton bones or fried chicken, THERE IS NO CIVIL WAY TO DO ANY OF THESE THINGS.
4) You’re kind of okay with burping (and other bodily noises and functions) – Farting. There, we said it. Everyone farts. Everyone has morning breath. You do, your boyfriend does. You both will, for eternity. Live with it! This applies to both men and women, lest you think otherwise. Did you know suppressing farts are bad for your health?
5) You have seen them at their worst and still love them – Did you help him clean up after he vomited after a bad case of food poisoning? Did he help you use the toilet when you fractured your foot and couldn’t do on your own? If you’ve been through all this with nothing but love and care for your partner, congrats! It is definitely time to take your relationship to the next level.

Saturday, 1 April 2017

VITU 5 ANAVYO HITAJI MWANAUME KABLA YA MWANAMKE

Hapo mwanzo wakati wa uumbaji baada ya kuumba kilakitu kinacho ipendeza dunia MUNGU akasema na tumuumbe mtu kwa mfano wetu. na MUNGU aka tangulia kumuumba mwanaume kabla ya kumpa mwanamke.
mungu haku fanya hivyo kwakukosea. alikua na maana. alihitaji kumpa mwanaume majukumu ndipo ampatie mwenza wa maisha yake.

    VIFUATAVYO NI VITU ANAVYO PASWA KUWANAVYO MWANAUME KABLA YA KUPATA MWENZA.

1. MWANAUME ANA HITAJI UWEPO WA MUNGU NDANI YAKE.
Baada ya mungu kumuumba adam alimuweka katika bustani ya eden. mungu ali hitaji adam awepo ndani ya uwepo wake.
kwahiyo mwanaume anahitaji uwepo wa mungu ndaniyake kabla ya mwanamke.
na hawa alimkuta adam ndani ya uwepo wa mungu.

2.KAZI
MUNGU alimpa adam kazi kwanza kabla ya mwanamke.
ukisoma mwanzo 2:15 mungu akamtwa adam na kumuweka katikati ya bustani na aka mwagiza ailime na kuitunza.
mwanume unahitaji kazi ya kufanya kabla huja mpata mwanamke.

3.MWANAUME ANAHITAJI KUWA MLINZI
MUNGU alimpa mwanaume bustani ailinde na kuitunza . mwanaume anahitaji kuwa mlinzi kwa familia yake.
ndomana mmungu alimpa mwanaume misuli na mifupa imara ili ailinde familia yake.

4.MWANAUME ANA HITAJIKA KUA MWALIMU.
ukisoma katika bibilia mungu hakumwambia mwanamke kuhusu kula tunda la mti. adam ndie aliye pewa maagizo juu ya kuutunza ule mti.
MFANO, mwanamke atauliza tufanye nini kuhusu jambo flani na mwanaume ukajibu , kwani wewe una fikiria nini.
hilo ni kosa kwa mwanaume. una paswa kuwamwelekezi ili awe kichwa cha familia.

5.MUNGU ALIMWAGIZA ADAM ALIME
Maana yake alitakiwa atengeneze kilakitu na kipendeze machoni pa mungu.
mwanaume ana hitaji kutengeneza mwanamke anaye mhitaji.
huwezi uka pata mwanamke alie kamilika kama unavyo fikiri.
ni lazima umtengeneze katika njia inayo kupendeza.

NDIPO MUNGU AKA  SEMA SIO VYEMA MTU HUYU AKAWA PEKE YAKE.
 je mwanaume yupi?
1.mwenye uwepo wamungu
2.mwenye kazi na anae weza kukutunza
3.anae weza kukuwekea ulinzi
4.anaeweza kukufundisha
5.anae weza kuitengeneza familia yake

contact:+255745524031
Email:kimarojulius77@gmail.com

Thursday, 30 March 2017

UHUSIANO WA KISUKARI NA KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME


Kulingana na baadhi ya chunguzi zilizo fanywa na wana sayansi asilimia 60 – 70 ya wanaume hupoteza nguvu za kiume kutokana na ugonjwa wa kisukari.

Sababu ni ngumu sana kuelewa lakini hutokana na mabadiliko yamwili ambayo hutokea baada ya mtu kupata kisukari.

Ukiachana na kupata hamu ya kufanya tendo la ndoa mara kwa mara una takiwa kuwa na mtiririko mzuri wa damu kwenye mishipa ya uume ili uweze kusimamisha uume kwa uda mrefu.

Una hitaji mishipa ya fahamu yenye afya na pia una hitaji homoni za kiume zakutosha.

Kisukari na nguvu za kiume

Ugonjwa wa kikari husababisha kudhoofu kwa mishipa ya damu, misuli pamoja na mishipa ya fahamu.

Uharibifu huu hupelekea mwanaume kupoteza uwezo wa kusimamisha uume kwa muda mrefu na baadae husababisha kushindwa kusimamisha uume kabisa.

Lakini pia ugonjwa wa kisukari hupelekea maradhi ya moyo na kusababisha matatizo makubwa mwilini.

contact:-+255745524031
Email kimarojulius77@gmail.com


Wednesday, 29 March 2017

JINSI YA KUTUNZA MATITI KWA WANAWAKE.


Ni lini mara ya mwisho kufanya uchunguzi wa matiti yako? Je una badili brazia marangapi? Una fahamu mabadiliko yanayo tokea kwenye matiti yako? Kama una weza kujibu maswali hayo basi utaelewa namna unavyo tunza matiti yako.
Kutunza matiti yako nimuhimu kama unavyo tunza sehemu nyingine ya mwili wako kama uso,

Hizi ni badhi ya njia unazo weza kufuata ili kutunza matiti yako

VAA BRAZIA SAIZI YAKO
Usivae brazia kubwa wala inayo bana, vaa saizi ya matiti yako. Wengine huvaa kubwa ili waonekane wa matiti makubwa na wengine huvaa ndogo ili kupunguza ukubwa wa matiti.

FANYA UCHUNGUZI WA MARA KWA MARA
Kujichunguza matiti mara kwamara ni muhimu sana nahii husaidia kugundua kama kuna mabadiliko yoyote. Una paswa kujua kuwa unatakiwa kufanya uchunguzi baada ya siku zako na sio wakati au kabla ya siku zako.
una weza kutembelea kwenye ukurasa huu kusoma namna ya kufanya uchunguzi.


BADILI  BAADHI YA STAILI ZA MAISHA.
Kama mwanamke ni lazima uelewe kua baadhi ya (lifestyle) hupelekea madhara mwilini mwako. Unywaji wa pombe na uvutaji sigara huchangia kuongeza hatari ya kupata kansa ya matiti,  pia ni vema kufanya mazoezi ya mara kwa mara.

YAFANYE MATITI YAKO KUWA MASAFI
Kama unavyo zingatia usafi wa mara kwa mara sehemu nyingine za mwili. Pia unatakiwa kuzingatia usafi wa matiti yako. Unapo oga hakikisha una safisha matiti yako vizuri hasa chini yamatiti kupunguza uwezo wakupata magonjwa ya ngozi.

JE UVAE AU USIVAE BRAZIA WAKATI WA KULALA?
Wengi hujiuliza hili swali lakini una paswa kuvaa au kuto vaa hutegemea na ukubwa wa matiti yako. Kama ni madogo ya wastani una weza usivae. Lakini kama ni makubwa ni muhimu kuvaa ili kuepusha usumbufu na kijiskia salama.

contact:-+255745524031
Email; kimarojulius77@gmail.com